Breaking News

MHE. DEOGRATIUS JOHN NDEJEMBI AAPA KUWA MAKAMU WA RAIS

 

Mhe. Deogratius John Ndejembi akiapa kuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, katika hafla ya kuapishwa iliyofanyika Ikulu Chamwino, mkoani Dodoma, leo tarehe 29 Agosti 2026.