Breaking News

 

Mjumbe wa kamati ya Uchumi Mipango Uwekezaji na Fedha wa Jumuiya ya Wazazi(CCM) Taifa Mhe.Dkt.John Kahemele akiwa katika muendelezo wa  mikutano ya kampeni kuzitafuta kura  jimboni Ubungo jijini Dar es salaam ili  kukipatia ushindi  chama hicho kwa  nafasi za Udiwani Ubunge na Urais  tarehe 29 Okt.2025.