Breaking News

CCM YAZINDUA KAMPENI KWA KISHINDO MKOA WA DAR ES SALAAM

 

Na Mwandishi  wetu-  Dar es Salaam 

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM Mkoa wa Dar es Salaam Abbas Mtemvu leo Agosti 31,2025 amefungua kampeni katika mkoa wa Dar es Salaam. 





Aidha katika uzinduzi huo wa kampeni uliofanyika katika viwanja vya Sokoine kata ya Azimio wilaya ya Temeke uliuzuliwa na madiwani wote wa mkoa mkoa wa Dar es Salaam Pamoja na wabunge wote wa mkoa wa Dar es Salaam. 


Hata hivyo  Abbas Mtemvu aliwatambulisha wabunge wote pamoja  na kuwakabidhi ilani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) ya Uchaguzi ya Mwaka 2025.